Sunday, August 17, 2008

Hakika tutashinda daima

Yapaswa kusimama imara kupigania haki yetu wote kwa pamoja hapo ndio tutakomboa haki yetu tuliyodhulumiwa tangi baba wetu wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere afariki dunia, waliobaki wanatutesa kama sisi hatuna haki na rasilimali zetu, lakini saa yao imekaribia kwani ukombozi wetu umefika, ila yatupasa kusimama dhabiti kupambana na mafisiazuni.

Watanzania wenzagu sasa simameni kupigania haki yenu tusikate tamaa kwani haki yetu ni ya kwetu sisi sote, kwanini tuwaachie hawa waendelee kutudhurumu? kwani Mungu aliwapa wao peke yao? Hii ni mali yetu yatupasa tupiganie hata kwa kupoteza damu zetu.

1 comment:

Christian Bwaya said...

Karibu katika ulimwengu wa kublogu. Hakika tutashinda.